NDOTO ZAKO



SALES TRAINING (MAUZO)
Maarifa, mbinu na ujuzi wa kitaalam unaohitajika kuongeza kiwango cha mauzo kwa ufanisi zaidi.
MAFUNZO YA BIDHAA
Fahamu kila bidhaa, changamoto zinazotatua, matumizi yake na namna ya kumuelekeza mteja.
TEAM BUILDING (UONGOZI)
Stadi zitakazokupa kujenge timu kubwa yenye ushindani wa kweli kwenye biashara.
MAENDELEO BINAFSI
Maono (Vision), Mahusiano, Motisha, Utu Imara n.k. Jifune kutoka kwa walimu wabobevu katika eneo hili.
SOCIAL MEDIA TRAINING
Mbinu bora za kutumia mitandao ya kijamii ili kujenga timu na kuongeza mauzo. Kukuza biashara kwa njia ya kidigitali.
Kuzingatia Mafunzo, Kusikiliza Viongozi, Kujenga Timu Yenye Ndoto, Huongeza Ufanisi wa Uongozi Wako na Mauzo kwa Uendelevu.
KWANINI BF SUMA?
BIASHARA ISIYOBAGUA
Tangu mwaka 2006, watu wamekuwa wakijengewa stadi za mauzo na uongozi zilizowafanikisha. Ni biashara pekee ambayo hata mtu wa kipato cha chini anaweza kuianza na kufanikiwa. Hakuna kulipa kodi, pango, hakuna gharama za kulipia wafanyakazi. Biashara kubwa, mtaji mdogo sana.
MPANGO MASOKO UNAOTEKELEZEKA
Zaidi, mfumo wa malipo umeundwa katika mtindo ambao ni halisi katika muktadha uliopo. Hii inathibitika kupitia malipo ya bonus na tuzo mbalimbali kama safari, magari na nyumba vinavyotolewa kila mwaka.
BIDHAA ZENYE MATOKEO
Mfumo wa usambazaji wa bidhaa na bidhaa zinazosambazwa vinaakisi ubora. Ni nidhaa zenye matokeo ya haraka na zenye kuzingatia ufyonzaji bora wa miti, mimea na matunda.
nyota zinazong’ara kwa bidii isiyoisha

Sikuwa nafahamu kwamba siku moja ningekutana na fursa itayonifikisha mahali pa juu kama nilipo sasa hivi. Ndoto zangu za kumiliki gari na kusafiri nchi za nje zimetimia, hatimaye.

Nilianza biashara nikiwa nipo masomoni na bado nikaweza kuifanya na kuwasaidia wengine pia. Hivi sasa nimewasaidia wengine na mimi nimeona mafanikio makubwa.

Sikuwa tayari kusikiliza maneno ya walionidharau wala kukatishwa tamaa na hali ya kiuchumi ya familia yangu. 2017 nilikutana na bishara hii iliyoandika historia mpya katika maisha yangu.